Kwa maana hii, ukubwa wa kiuno hugawanywa na ukubwa wa nyonga. Iwapo kipimo hiki ni 0.7 hadi 0.8 basi itachukuliwa kama kitu cha kawaida. Lakini kama kikizidi kipimo hiki, hatari itaongezeka.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results