Wanyama hao walianza kuvuka kutoka Hifadhi ya Wanyama ya Maasai Mara upande wa Kenya na kuingia katika Mbuga ya Taifa ya Serengeti nchini Tanzania, takriban mwezi mmoja mapema kuliko miaka ya awali.
Hifadhi tatu nchini Tanzania zimeibuka kidedea kati ya hifadhi 25 zilizotajwa kwenye tuzo hizo Serengeti ikishika nafasi ya kwanza duniani Hifadhi ya Masai Mara ya nchini Kenya imeshika nafasi ya ...