Bineta Diop, Mjumbe Maalum wa Muungano wa Afrika kuhusu Wanawake, Amani, na Usalama, ambaye pia ni mwanzilishi mwenza wa AWLN, ameuelezea mkataba huu kama hatua ya kihistoria lakini akaonya kuwa ...
Baada ya kuzuru Kinshasa, Mbunge wa Marekani Dk. Ronny Jackson ameendelea na ziara yake siku za hivi karibuni katika mji mkuu ...
Madai ya unyanyasaji wa kijinsia na unyonyaji katika ujumbe wa kulinda amani na ule wa kisiasa wa Umoja wa Mataifa, vimeshika ...
Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamekutana Harare, Zimbabwe pamoja na mambo mengine wamejadili suala la amani Mashariki mwa Jamhuri ya ...
Kadhalika, viongozi na wakuu wa nchi hizo, EAC, SADC na Afrika kwa ujumla wazidi ‘kukuna vichwa’ wakimwomba Mungu wapate ...
Angola imekuwa ikijaribu kuwa mpatanishi kwa lengo kufikia hatua ya kusitisha mapigano la kudumu na kupunguza mvutano kati ya ...
Taifa la Qatar limekuwa msitari wa mbele katika juhudi za kutafuta amani kwenye baadhi ya mizozo inayoathiri maeneo kadhaa ...
Qatar pia imesimamia mikataba ya amani barani Afrika, ikiwa ni pamoja na usitishaji vita wa 2022 kati ya serikali ya Chad na ...
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameonya juu ya mmomonyoko mkubwa wa mfumo unaoibua kitisho kwenye ukuaji na utulivu wa dunia. Mawaziri wa fedha wa G20 wanakutana Afrika Kusini. Ramaphosa ...
Inafanya kazi na vyombo vya habari barani Afrika na zaidi ya kukuza kazi ya Umoja wa Mataifa, Afrika na jamii ya kimataifa kuleta amani na maendeleo barani Afrika.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果