“Wanawake wanapopata rasilimali, wanaweza kujikomboa kutoka katika umaskini na kuchangia maendeleo ya jamii nzima.” Jua la asubuhi lilikuwa bado halijachomoza vizuri wakati Fatuma Seif Juma alipoanza ...
“Shirika hili linatetea akina mama na wasichana ambao wamedhulumiwa katika jamii kupitia kupigwa, kubaguliwa na vitendo vingine ambavyo havistahili. Tena tunawasaidia kukua na kujua jinsi ya kupambana ...