资讯

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi, Dk. Pindi Chana ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Njombe na mikoa mingine wanaoshiriki kwenye maadhimisho ya kilele cha Siku ya Misitu Duniani kushiriki kwenye ...
Geita Gold iliyotoka kuchapwa mabao 2-0 na Bigman FC mchezo uliopita ugenini, inarudi kwenye Uwanja wa Nyankumbu, mjini Geita kuikaribisha Cosmopolitan, yenye kumbukumbu mbaya pia ya kupoteza kwa ...
Nchini Sudani Kusini, je, mzozo ulioanza katikati ya mwezi wa Februari huko Upper Nile, eneo la kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo, unatishia kuanzisha uhasama mkubwa, ukiwemo mji mkuu wa Juba?
Maendeleo ya Ujenzi Akizungumzia ujenzi wa barabara ya Kabingo- Kasulu -Manyovu inayopita katika majimbo matano ambayo ni la Buhigwe, Kasulu Mjini, Kasulu Vijijini, Muhambwe na Jimbo la Buyungu, Naibu ...
Kigoma. Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kigoma (RCC) imeridhia kugawanya majimbo manne ya uchaguzi mkoani Kigoma ambayo ni Kigoma Mjini, Kasulu Vijijini, Uvinza na Kibondo. Maazimio hayo yalipitishwa na ...
Majaliwa ameyasema hayo leo Wilayani Nzenga Mkoani Tabora wakati akizindua kituo kipya cha mabasi cha Nzega mjini ambacho ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 100 na kugharimu takribani Sh. bilioni ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 13 amezindua kituo kipya cha Mabasi cha Nzega Mjini mkoani Tabora ambacho ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 4.327. Akizungumza baada ya kuzindua kituo ...