资讯

Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO), mwaka 2021 wanawake waliofikisha umri wa ukomo wa hedhi hasa wa miaka 50 na zaidi walikuwa asilimia 26 ya wanawake na wasichana wote duniani.
Ukraine ilikubali. Urusi haikufanya hivyo. Au tuseme, ilikuja na orodha ndefu ya masharti. Badala ya siku 30, Kremlin iliamua saa 30. Siku ya Jumamosi, Rais Vladimir Putin alitangaza mapatano ya ...
Wasanii wengine waliofanya vizuri ni Bella Kombo kupitia wimbo wa Mungu ni mmoja alioimba na msanii wa Kenya Evelyn Wanjiru, kundi la Zabroni Singer’s, Paul Clement, Solomon Mukubwa wa Kenya, Harun ...
Shaabani Ngodoki ni mmoja wa wananchi hao, amesema awali kwenda Kigoma Mjini ilikuwa tunatumia Sh500, lakini sasa wanalazimika kulipa Sh1,500 hadi Sh2,000 kuzungukia barabara ya Kasulu. “Jambo hili ...
Ibada ya mazishi ya Papa Francis, itafanyika Jumamosi wiki hii ikiongozwa na Kardinali Giovanni Battista Re, Dekano wa Baraza la Makardinali, katika Kanisa Kuu la Petro, jijini Vatican. Taarifa ya ...
Akizungumza na Mwananchi, shuhuda wa ajali hiyo, ambaye pia ni miongoni mwa waimbaji wa kwaya hiyo, Eliazina Edson amesema wakati gari linapanda mlima lilipata hitilafu na kuanza kuserereka na ...
Na mwandishi wetu mjini Kinshasa, Paulina Zidi Umoja wa Mataifa umerekodi zaidi ya wahasiriwa 1,200 wa ukiukaji wa haki za binadamu na dhuluma kote DRC mwezi wa Februari. Idadi hii inawakilisha ...
Siku 100 za huzuni ambapo kiza bado kinatanda katika nchi hii ya Maziwa Makuu ya Afrika, licha ya kazi ya maridhiano isiyo na mwisho. Sherehe rasmi zinaanza Aprili 7 - siku ya mauaji ya kwanza ya ...
Kambi ya matibabu iliyofanywa na madaktari bingwa wa Tanzania nchini Comoro imekuwa ya mafanikio makubwa kwani wananchi zaidi ya 2,270 waliokuwa na changamoto za kiafya walipata tiba. Hayo yalisemwa ...
KIUNGO wa Singida Black Stars, Mohamed Damaro,22, anaamini klabu yake ina nafasi kubwa ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao, hasa Kombe la Shirikisho Afrika, endapo watamaliza nafasi ya pili ...
DAR ES SALAAM; SERIKALI ya Awamu ya Sita imepata mafanikio katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kipindi cha mwaka 2023/24. Kauli hiyo imetolewa leo Machi 27, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, ...
SWALI ambalo huko mtaani mashabiki wanajiuliza ni kwamba, hiyo mechi ya Kariakoo Dabi ipo au haipo? Hiyo ni baada ya kuahirishwa kwa mchezo huo namba 184 wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba ...