资讯

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amesema mamlaka hiyo iko tayari kuchukua hatua kali dhidi ya baadhi ya wafanyabiashara wa mafuta wanaoagiza mafuta kwa madai ya ...
Katika siku za hivi karibuni, soko la mafuta duniani limejikuta kwenye mtikisiko mkubwa unaosababishwa na vuta nikuvute ya kisiasa kati ya mataifa makubwa, mabadiliko ya kiuchumi duniani, na mikakati ...
Kwa sababu ya umuhimu wa misitu hiyo, Serikali inaandaa mkakati wa kitaifa wa usimamizi wa mikoko unaotarajiwa kuzinduliwa Julai, 2025. Wakati wananchi eneo la Kijichi waliozungumza na Mwananchi ...
Inatumika kufanya misheni ya kipekee na pia kushambulia Urusi pamoja na askari walio vitani. Maeneo lengwa ni vituo vya kusafishia mafuta na bohari ya mafuta. Lakini baada ya Urusi na Ukraine ...
"Idadi ya vifo kutokana na shambulio la Marekani kwenye bandari ya mafuta ya Ras Issa sasa inafikia 20," amesema Anees Alasbahi, msemaji wa Wizara ya Afya ya Houthi. "Waokoaji watano na wahudumu ...
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini kwa mwezi Aprili, zitakazotumika kuanzia leo. Kwa mwezi huu, gharama za ...
wajibu kwa makampuni ya mafuta kurudisha makwao ndani ya benki ndogo ya kikanda, fedha za ukarabati wa mazingira kutoka kwa amana zilizokauka. Mazungumzo yanazidi kuwa magumu kadiri tarehe ya ...
Serikali imechukua hatua za kuleta mseto wa uchumi kwa kuwekeza kwenye miradi ya madini, kilimo na miundombinu ili kupunguza utegemezi wa hidrokaboni. Gabon ni mzalishaji mkuu wa mafuta na muuzaji ...
Kwa nini wachezaji wa kikapu hupaka mafuta chini ya viatu vyao mara kwa mara wakati wa mechi? Mara nyingi mastaa hao hupaka au kufuta chini ya viatu vyao kwa kutumia mafuta flani hivi laini wakati wa ...
Shirika la Mafuta na Gesi Asilia (ONGC) imetunukiwa tuzo ya kifahari ya Tausi ya Dhahabu 2025 katika kitengo cha 'Bidhaa/Huduma ya Ubunifu' kwa Mfumo wake wa Kimapinduzi wa Asidi Iliyorejeshwa kwa ...
UNRWA kupitia chapisho lingine X linasema licha ya uhaba wa nishati ya mafuta pamoja na vizingiti vya usafiri huko Gaza, timu ya shirika hilo ya huduma za usafi na kujisafi imeendelea kukusanya taka ...
Remgro Limited ni kampuni inayomiliki uwekezaji iliyoko Stellenbosch, Afrika Kusini. Ina maslahi katika benki, huduma za kifedha, bidhaa za kioo, huduma za matibabu, madini, mafuta ya petroli, ...