资讯
Uamuzi wa nani atakayechaguliwa kuwa Papa ajaye unaweza kuwa na athari kubwa kwa Kanisa Katoliki na waumini wake wapatao bilioni 1.4 duniani kote. Lakini pia huu ni mchakato mgumu na usiotabirika ...
BAADA ya kuachana na Diamond Platnumz tu polepole Tanasha Donna alianza kushuka kimuziki na sasa hasikiki kabisa, na hilo ...
Baada ya kuachana na Diamond Platnumz tu polepole, Tanasha Donna alianza kushuka kimuziki na sasa hasikiki kabisa, na hilo linaacha swali iwapo staa huyo wa WCB Wasafi aliondoka na nyota ...
Manchester United wamemfanya mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 26, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Galatasaray, kuwa mlengwa wao mkuu wa uhamisho wa wachezaji mwishoni mwa msimu huu ...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kusini kimesemea viongozi wake watatu, mwimbaji nyimbo za chama na wanachama wawili wameshikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Songea Mjini.
Hatua hiyo imekuja baada ya Marekani kuiwekea China ushuru wa asilimia 34, hali iliyozua majibizano makali. China ilijibu mashambulizi hayo Jumapili, huku Trump akiipa saa 24 kuondoa ushuru huo.
Moja ya malengo ya Nairobi ni kufungua fursa mpya katika biashara, uwekezaji na miundombinu. Mazungumzo ya nchi mbili na Xi Jinping ni ajenda katikati ya vita vya kibiashara kati ya China na Marekani.
Kadinali Mmarekani mwenye asili ya Ireland Kevin Farrell, kama Camerlengo, anawajibika kusimamia masuala ya kila siku ya Vatican, akisubiri kuchaguliwa kwa papa mpya. Camerlengo ni msimamizi wa ...
Leo ni sikukuu ya Pasaka waumini wa kikristo wanasherehekea kukufuka kwa Yesu zaidi ya miaka 2000 iliyopita huko Yerusalem, Mashariki ya Kati.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果