资讯
Ni miezi sita sasa bila Alikiba kutoa wimbo mpya lakini sio jambo geni bali ni utamaduni wake kwa miaka nenda rudi, ni mara ...
Genius Jini X66, huyu ni mtayarishaji ambaye mara nyingi anafanya kazi na Jay Melody na kila wakutanapo hutengeza ngoma kali na hit mfano wa ngoma hizo ni pamoja na Nakupenda ambayo imeandika rekodi ...
MIONGONI mwa wasanii wa Bongo Fleva wanaofanya vizuri kwa sasa ni pamoja na Jay Melody ambaye nyimbo zake zimekuwa maarufu sana hasa upande wa kinadada huku zikijizolea mamilioni ya wasikilizaji ...
Uamuzi wa nani atakayechaguliwa kuwa Papa ajaye unaweza kuwa na athari kubwa kwa Kanisa Katoliki na waumini wake wapatao bilioni 1.4 duniani kote. Lakini pia huu ni mchakato mgumu na usiotabirika ...
IT之家4 月 19 日消息,科技媒体 AppleInsider 昨日(4 月 18 日)发布博文,苹果公司此前放弃的“Bongo 项目”,近期在一项专利申请中重新浮出水面,暗示未来 iPhone仍有望配备触觉按钮。 IT之家援引博文介绍,苹果公司最早于 2022 年提出 Bongo 项目,计划在更昂贵的 ...
BAADA ya kuachana na Diamond Platnumz tu polepole Tanasha Donna alianza kushuka kimuziki na sasa hasikiki kabisa, na hilo ...
Manchester United wamemfanya mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 26, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Galatasaray, kuwa mlengwa wao mkuu wa uhamisho wa wachezaji mwishoni mwa msimu huu ...
Kata Ibadakuli yaona fursa mpya kiuchumi "UVCCM wilaya ya Shinyanga Mjini, tumeridhishwa na kazi kubwa ambayo anaifanya Rais wetu Dk.Samia Suluhu Hassan ya utekelezaji wa Ilani ya CCM pamoja na ...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kusini kimesemea viongozi wake watatu, mwimbaji nyimbo za chama na wanachama wawili wameshikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Songea Mjini.
Rebeca Grynspan: Wakati mataifa haya mawili yenye uchumi mkubwa zaidi duniani yanapowekeana ushuru, itaathiri kila mtu, siyo tu wao wenyewe. Tayari tupo katika hali ya “kawaida mpya” ya ukuaji mdogo ...
Mwenyekiti wa Klabu, Murtaza Mangungu Mangungu pia ametambua mchango wa watu waliowahi kuleta mapinduzi kwenye uuzaji wa jezi, akiwemo Kassim Dewji, Vunja Bei na Sandaland, huku akisema Jayrutty sasa ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果