Matokeo ya ripoti hiyo yanapendekeza kuwa, mshikamano wa kijamii na kifamilia ulio imara, kuchelewa kwa matumizi ya simu janja na mwingiliano wa ana kwa ana wa kijamii huenda vinachangia katika ...
Mwanzoni mwa mwezi wa Desemba, miezi mitatu iliyopita, waasi wa FLA na wanajihadi wa Jnim, wanaohusishwa na al-Qaeda, walianzisha mazungumzo mapya, kwa wazo la kuchanganya juhudi zao zaidi.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia bondia maarufu, Hassan Mwakinyo (29), kwa tuhuma za kumshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), mvuvi na mkazi wa Sahare, jijini Tanga, baada ya ...
Moshi. Wakati mamia ya waombolezaji wakifurika kwenye maziko ya aliyekuwa mbunge wa kwanza wa CCM Moshi mjini, Mkoa wa Kilimanjaro, John Mwanga (78), familia imeeleza kuwa baba yao alikuwa ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果