资讯
Akizungumza katika ofisi za Nipashe, Mikocheni, Dar es Salaam hivi karibuni, amesema aliandika barua Machi 21, mwaka jana, kwenda Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuhusu mtoto ...
Akizungumzia na Nipashe Digital kuhusu tukio hilo, Hamisa Haruna, ambaye ni mama mzazi wa mtoto huyo, amesema ametoweka Machi 14, 2025, baada ya kutumwa dukani lakini hakurejea tena nyumbani.
Mjadala makali bado unaendelea baada ya serikali kudaiwa kuzuia wanafunzi wa shule ya upili ya Butere kuwasilisha uchezo wao wa Echoas of War kwenye ngazi ya kitaifa kwenye mashindao ya kuingiza ...
Katika kufunika hatia ya kutopatikana, tunawahonga watoto midoli wasiyoihitaji. Mtoto akilia, kwa mfano, tunampa kishikwambi atulie. Nyumba zetu zina kila aina ya ving’amuzi vinavyotumiwa muda mwingi ...
Watoto wanaotambaa pia wanabakwa Mtoto mwenye umri wa miaka 13 alibakwa na kupewa ujauzito Mtoto huyo asema "siko tayari kuwa mama" UNICEF yapongeza wadau wanaojitolea kulinda watoto Mtoto mmoja ...
Mtoto mmoja alibakwa katika kila nusu saa huko Mashariki mwa Jamhuri ya ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati mapigano yaliposhika kasi mwanzoni mwa mwaka huu kati ya jeshi la serikali FARDC na waasi ...
Neema Luligala aliyedai kubadilishiwa mtoto wake wa kike aliyejifungua katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru,akizungumza na waandishi wa habari Arusha leo baada ya majibu ya DNA kutoka Arusha. Ikiwa ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果