资讯
Stellenbosch FC kwa upande wao, waliandika historia kwa kuwaondoa mabingwa watetezi, Zamalek SC, kwa ushindi wa 1-0 jijini Cairo, katika mojawapo ya matokeo ya kushangaza zaidi kwenye historia ya ...
Dar es Salaam. Halmashauri ya jiji la Tanga, imetajwa kuongoza kwa usafi kwa kupata asilimia 83.2 ya alama zote. Ikishindanishwa na halmashauri sita za majiji zilizopo nchini. Hayo yamebainishwa ...
ILI kupunguza gharama za matibabu ya kusafisha figo nchini, Serikali imesambaza mashine zaidi ya 100 pamoja na vitendanishi vyake katika hospitali za rufaa za mikoa mbalimbali nchini. Taarifa hiyo ...
Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO ambalo linaanzisha kampeni ya mwaka mzima kuhusu afya ya mama na mtoto mchanga “Takribani wanawake 300,000 wanaendelea kufariki dunia kila ...
Kwa ajili ya manufaa ya vijana hasa wa miaka ya sasa, amesema ni muhimu kusiwepo watu wanaoharibu mantiki ya G55 ya mwaka 1993. Mwabukusi anasema kinachochanganya zaidi ni kwamba G55 ya sasa ...
Fountain Gate imecheza mechi 24 hadi sasa na ndio timu inayoongoza kwa kufungwa mabao mengi zaidi msimu huu ambayo ni 43 ikifuatiwa na KenGold ambayo imefungwa mabao 40 kabla ya mchezo wa jana dhidi ...
Ameonya kuwa operesheni zinazoendelea za kijeshi katika maeneo yaliyoathiriwa na janga hilo zinaweza kusababisha vifo zaidi na kudhoofisha juhudi muhimu za misaada. Bishop amelaani aina yoyote ya ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果